Orodha ya majina ya walitwa kwenye Usaili Jeshi la Polisi Tanzania 2025
Mr. PDFs TZ ni jukwaa la Maarifa linaloongoza katika kushiriki maarifa kupitia elimu, makala, sayansi na teknolojia. Lengo letu ni kuhamasisha vijana na jamii kwa ujumla kwa kutoa maudhui bora na yenye manufaa. Dira Yetu na Malengo Yetu ni: ► Kuelimisha jamii kwa makala zenye ushahidi wa kisayansi. ► Kusaidia wanafunzi kupata nyenzo bora za kujifunza. ► Kuelimisha kuhusu maendeleo ya teknolojia na mchango wake. Maarifa ni Nguvu!
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu imeanzisha mfumo mpya wa tahasusi kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwaka 2025. Hizi ndizo tahasusi zinazopatikana:
Uchaguzi wa tahasusi ni muhimu kwa maendeleo ya taaluma ya mwanafunzi. Kwa hivyo, ni vyema kuchagua mchanganyiko wa masomo unaoendana na malengo ya baadaye.